Ni Kama Movie: Hali Sio Nzuri Kabisa Kuanzia GEN EAC
Nimekuwa Nairobi hapa kati, vijana asubuhi mapema wanakunywa vinywaji vikali, mchana unakutana nao njiani wanaongea wenyewe, aisee.
Haitoshi, hili janga limehamia Tanzania kwa ujumla, hasa mji wa Dar es Salaam.
Hatujakataza kunywa, sema...