Melipotis januaris, the January melipotis moth, is a species of moth in the family Erebidae. It was first described by Achille Guenée in 1852. The species has a wide range in the New World and has been recorded from Saint Kitts, Montserrat, Dominica, Saint Lucia, Saint Vincent, Grenada, the Greater Antilles, Florida and from Mexico to Paraguay.The wingspan is about 35 mm. It is a highly variable species. Some specimens show a strongly contrasting pattern whilst others are more uniform.
The larvae feed on Inga laurina.
TAMKO LA MTANDAO WA ELIMU TANZANIA (TEN/MET) NA LHRC JUU YA MATUKIO YA KUJERUHIWA NA KUUAWA KWA WANAFUNZI KUTOKΑΝΑ ΝΑ ADHABU KALI YA VIBOKO MASHULENI
Dar es Salaam, Machi 11, 2025.
Ndugu waandishi wa habari
Tarehe 26 Februari 2025 ziliripotiwa taarifa kupitia vyombo vya habari za kufariki kwa...
Bunge la 12 Mkutano wa 18 kikao cha 8 Januari 6, 2025.
https://www.youtube.com/live/v7nIhzdKxfM?si=_aHP4U9aOM7XzizK
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, amesema ni muhimu kwa Tanzania kuzingatia Sera za nje na kuimarisha mahusiano mazuri na mataifa mengine huku ikijikita zaidi katika kujitegemea...
Kufuatia hoja iliyoibuliwa na Mdau wa JamiiForums.com kuwa Chuo Kukuu Huria cha Tanzania (OUT) kimekuwa na kawaida ya kuchelewesha matokeo ya mitihani, ufafanuzi umetolewa kutoka chuo.
Kusoma hoja ya Mdau, bonyeza hapa ~ Chuo Kuu Huria hakitoi kwa wakati matokeo ya Mitihani, tunalazimika kutoa...
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo ambaye pia ni Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amesema wanafunzi wa shule na vyuo pia wanatakiwa kusomea nyumbani kesho tarehe 27 na keshokutwa 28, Januari 2025, kutokana na kufungwa kwa barabara nyingi za jiji la Dar es Salaam...
https://www.youtube.com/live/P1Wh1QZrawc
Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni Sanaa na Michezo na Msemaji Mkuu wa Serikali atakuwa akiongea na Waandishi wa Habari wa Mkoa wa Morogoro na Dodoma kutoa Taarifa ya Serikali kwa Wanainchi Kupitia vyombo vya Habari .
Once in a life time!
Watazamaji na mashabiki wa anga wanatazamiwa kupata burudani ya kipekee ya angani kwani sayari sita - Mihiri, Jupita, Venus, Zohali, Neptune, na Uranus - zote zitaonekana angani usiku.
Bila shaka, utaweza pia kuona tukio hili usiku wa leo, kwani sayari zitakuwa...
Miongoni mwa Amri Zilizotolewa na Trump Jana Katika Uapisho Wake
1. Kusitisha Ajira Mpya (Hiring Freeze)
Trump alitoa amri ya muda ya kusitisha ajira mpya serikalini hadi utawala wake utakapoanza kufanya kazi kikamilifu. Aidha, ndani ya siku 90 kuanzia tarehe ya kutolewa kwa amri hiyo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.