JANUARY MAKAMBA AWE KIPIMO CHA MAWAZIRI WA RAIS SAMIA
OKTOBA 12, 2022, nilihudhuria mkutano wa Waziri wa Nishati, January Makamba na waandishi wa habari. Mada ni “Clean Cooking” – “Upishi Nadhifu". Ulifanyika Ukumbi wa Museum, Benki Kuu, Dar es Salaam.
Nilipokuwa nikimsikiliza January...