Mwanamke anayedai kuwa alinyanyaswa kingono na Sean "Diddy" Combs amerekebisha kesi yake na kujumuisha madai kuwa pia alibakwa na Jay-Z kwenye moja ya party.
Kesi hiyo hapo awali iliwasilishwa dhidi ya Combs mnamo Oktoba, lakini Jumapili 8th December, mwanamke huyo aliongeza Shawn Carter...
Naomba JamiiCheck watatusaidia kuiverify hiyo video, ila kutokana na sababu za kimaadili sitaipost hiyo video hapa, ila kwa atakayeihitaji asisite kuja PM.
Video hiyo inamuonesha Jay-Z akiwa na mtu mwanaume mwingine anayedhaniwa kuwa ni rapa Kidkud wakiwa wamekaa katikati ya wanawake 4...
This is for the soldiers that see the sun at midnight, ya dig
Let me slow down
(it's so incredible)
Rick Ross verse
I go to the grave before i be a bitch nigga.
Better behave, you dealin' with some rich niggas.
We done lost symbols speakin' cryptic codes.
Ancient wisdom, valuable like gifts of...
Rapa na mfanyabiashara huyo wa Marekani inadaiwa kuwa anaweza kuinunua klabu hiyo ya England kwa Pauni Bilioni 2.2 (Tsh. Trilioni 6.9) ikiwa mmiliki wa sasa Joe Lewis atataka kuiuza.
Lewis (86) anakabiliwa na masuala ya kisheria kuhusu biashara zake na alifikishwa Mahakamani Julai 26, 2023...
Kupitia orodha hiyo inayojumuisha Matajiri 2,640 wakiongozwa na #BernardArnault na Familia yake wakiwa na Utajiri wa Tsh. Trilioni 493.9 akifuatiwa na #ElonMusk mwenye utajiri wa Tsh. 421.3 na #JeffBezos mwenye Trilioni 266.8.
Kwa upande wa Mastaa, #JAYZ yuko nafasi ya 1217 akiwa na Tsh...
Ed Sheeran tells Rolling Stone that he wanted Jay-Z to be on “Shape Of You.”
“I sent him the song, and he said, ‘I don’t think the song needs a rap verse.’”
“He was probably right. He’s got a very, very good ear. He usually gets things right. It was a very natural, respectful pass.”
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.