Beyoncé, ambaye alizaliwa mnamo Septemba 4, 1981, alipata umaarufu akiwa member wa Destiny's Child (hapo awali kilijulikana kama Girl's Tyme), moja ya bendi kubwa zaidi za wasichana katika historia ya muziki.
Baada ya kuachana na Destiny’s Child, alianza kazi kama msanii mmoja akiongeza mauzo...