jbl

JBL is an American audio equipment manufacturer headquartered in Los Angeles, California, United States. JBL serves the customer home and professional market. The professional market includes studios, installed/tour/portable sound, music production, DJ, cinema markets. The home market includes high-end home amplification/speakers/headphones as well as high-end car audio. JBL is owned by Harman International, itself a subsidiary of Samsung Electronics.
JBL was founded by James Bullough Lansing (1902–1949), an American audio engineer and loudspeaker designer best known for establishing JBL, taken from his initials. He earlier had founded Lansing, which was purchased by Altec to form Altec Lansing.

View More On Wikipedia.org
  1. Huyu Majizo hizi Spika zake amelenga soko la ndani ya Tanzania au nje? Bei za moto level za JBL.

    Hongera kwake kwa kuzindua Jizzo Sound. Sawa. Ila swala la bei ni jambo jingine. Kuna Michina mingi kwenye hii price range na ina muziki mnnene, itaweza kucompete? Bei inayofuatia Laki 4.8 hadi Mil 3 uko. Sasa naona una compete na wakina JBL.
  2. K

    Je naweza ungalisha speaker ya JBL Boombox2 kwenye redio ya gari?

    Salaam, Nawaza, Je naweza kuungalisha speaker ya JBL Boombox2 kwenye redio ya gari? Lengo ni kuongeza hiyo speaker kwenye idadi ya speaker za gari. Msaada tafadhali.
  3. JBL BoomX3

    Wakati dunia imeshikwa na sonny, LG, Samsung na Sonny kwa kipindi kirefu… huku wakitamba na vifaa vyao konki na bora duniani…. JBL pia alikuepo sokoni. Ila hakuwa na vifaa vingi vya kushika soko, hadi hapo miaka ya karibuni baada ya kufuatua vifaa bora na vya bei ya wastani. Ubora na uimala...
  4. NAUZA JBL CHARGE 5

    Habari za asubuhi wadau, Naiman mko salama kabisa. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu ,nimeamua kuuza hii kwa sababu ya ukata tu ila radio nzima. Hizi ni picha za hip radio husika. Bei ni 340k
  5. Hizi JBL underseat subwoofer ni og ama copy, hata kama ni copy je zinagonga mziki vizuri?

    wakuu kuna hizi subwoofer za jbl underseat za kwenye gari ambazo hapa mjini dar es salaam zinauzwa laki mbili, hivi kweli hizi ni jbl Original ama fake? bas hata kama sio original je zinagonga mziki vizuri, bass nzito? wajuzi wa mambo tafadhali
  6. JBL party box mwamba wa muziki mnene

    Mdau , leo nakutupia hii apa Wewe unapenda mziki mkubwa? Chukua hili dudeee Hutojutiaaa Swipe kulia kuona video 👉🏽 JBL boom box 2 - 1,200,000/= JBL party box 310 - 1,650,000/= JBL party box 710 - 2,200,000/= Tupigie au whasapp - 0692690033 Tupo kariakoo mtaa wa aggrey...
  7. Jinsi ya kuchagua Speaker bora

    Habari wakubwa hii leo nakupa hii ya bure kabisaa Uliza swali kama hujaelewa Twende pamoja Jinsi ya Kuchagua Speakers Bora kwa Kufurahia Muziki Kwa wapenzi wa muziki, kuchagua speakers ni uamuzi muhimu ambao huathiri uzoefu wao wa kusikiliza. Hapa kuna mwongozo wa hatua kwa hatua kusaidia...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…