Jean Bosco Gasasira ameishi uhamishoni kwa karibu miaka 14. Mnamo mwaka wa 2010, alikimbia Rwanda baada ya kupokea vitisho vingi akiwa mwandishi wa habari na mhariri mkuu wa gazeti huru la Umuvugizi. Muda mfupi baada ya kuondoka kwake, mhariri mkuu wa muda aliuawa mjini Kigali, na kusababisha...