jeff bezos

  1. Jinsi Mark Zuckerberg alivyopagawa na vazi la Mke wa Jeff Bezos jana.

    Wakati wa sherehe ya kuapishwa kwa Rais Donald Trump tarehe 20 Januari 2025, tukio lililomhusisha Mark Zuckerberg, Mkurugenzi Mtendaji wa Meta (zamani Facebook), lilivutia sana. Video moja ilimuonyesha Zuckerberg akitazama kifua cha Lauren Sánchez, mchumba wa mwanzilishi wa Amazon, Jeff Bezos...
  2. Inasemekana Jeff Bezos kufanya harusi ya zaidi ya Trilioni 1.

    Wakati huo mwanangu unafukuzwa na kausha damu ulipe deni la laki tano, mwenzako anaoa mwanamke kwa bajeti ya nchi😂😂, life is a bitch, man😭
  3. " I can never make the same mistake of getting married again" Jeff Bezos

    I lost over $38-billion in cash and 35% of Amazon to my ex-wîfe, MacKenzie. I was worth about $76-billion by then." __ Jeff Bezos "I can nēver make the mîstake of getting married again. I was married to my ex-wîfe Mackenzie for over 25-years but she just woke up one day and told me that she was...
  4. Matajiri 10 wa dunia, 9 ni wa Marekani mmoja Mfaransa

    Matajiri kumi wa dunia, 9 ni wa MAREKANI mmoja MFARANSA Products zao zinajulikana. Hapo kuna google, Microsoft, Tesla, space x, Apple nk. Je, na wao wanachapisha mi dollar. Tuache kushupaza shingo, eti USA wana print dollar.
  5. Jeff Bezos surpasses Elon Musk as wolrd's richest person

    According to fortune, for the first time in more than nine months Elon Musk is no longer the world's richest person. Musk lost his position a top the Bloomberg billionaires index to Jeff Bezos after shares in Tesla Inc. tumbled 7.2% on Monday. Musk now has a net worth of $197. 7 billion...
  6. JAY-Z na Jeff Bezos watangaza kuinunua Washington Commanders

    Jeff Bezos, 58, anaripotiwa kutaka timu ya Washington Commanders baada ya kufichuliwa kuwa wamiliki wake, Daniel na Tanya Snyder, walikuwa wakifikiria kuiuza. Wanandoa hao wamemiliki timu tangu 1999, lakini hivi karibuni wametangaza kuiuza timu hiyo yenye thamani ya dola bilioni 5.6...
  7. Jeff Bezos afungue ofisi Africa na kuajiri watu wakupeleka bidhaa kwa wateja

    Miaka ya 90 DHL walikua na ofisi mikoani na waliajiri vijana wa kupeleka mizigo kwa wateja. Vijana walipewa pikipiki kubwa na walifanya kazi kwa ufanisi. Amazon ni kampuni kubwa, ukiweza kufungua ofisi na kusimamia Uriah I wa makontena bandarini na wateja kupelekewa bidhaa zao mpaka nyumbani...
  8. Jeff Bezos akiwa mdogo alikataliwa na baba yake mzazi na akamrithisha kwa baba mwinginekisheria" leo ndiye tajiri namba moja duniani

    Imeandikwa na Ngusa john kutoka Facebook Ted Jorgensen, alipokuwa na umri wa miaka 17, alikutana na binti mrembo aliyekuwa akisoma naye shule moja, Jackyn Gise, aliyekuwa na umri wa miaka 16. Wakapendana. Wakaanza safari ya mapenzi. Jacklyn akanasa ujauzito. Wakati Jacklyn anashika mimba...
  9. ELON MUSK: Jeff Bezos afanye kazi kwa bidii kuliko kushinda bafuni

    Elon Musk ametoa ushauri kwa tajiri mwezake Jeff Bezos afanye kazi kwa bidii kama anataka kutengeneza pesa katika biashara ya vyombo vya angani. “Bezos anatakiwa kupoteza muda zaidi katika kampuni yake ya Space ya Blue Origin na kutumia muda kidogo kushinda katika bafu la maji ya moto. Bezos...
  10. Forbes yamtaja Rais Samia Suluhu Hassan katika Wanawake 100 wenye nguvu zaidi duniani mwaka 2021. Yupo nafasi ya 94

    Samia Suluhu Hassan became Tanzania's sixth president and first-ever female leader in March 2021, following the death of President John Magufuli. She rose to the position from vice-president, a role to which she was first elected in 2015. In September, she became just the fifth-ever female...
  11. Jeff Bezos ni tajiri kuliko nchi ya Tanzania!!

    Utajiri wa Jeff Bezos ni $200.3bln Tanzania GDP(PPP) ni $200.14bln GDP gross ni $65bln. Mtu huyu ni tajiri kuliko nchi yetu!! Tunakwama wapi?
  12. M

    Wazungu nao wana wivu mwenzao akiwa tajiri

    Likija suala la utajiri utachukiwa tu uwe mzungu ama mswahili kutakuwa na wivu na chuki. Tumeshuhudia Diamond alivyonunua Rolls-Royce. Malaki ya watu wamesaini petion dhidi ya Jeff Beezos tajiri namba moja duniani wakinuombea kesho tarehe 20 akipaa anga za juu asirudi duniani tena abaki na...
  13. Amazon yapata CEO mpya baada ya Jeff Bezos kuachia nafasi rasmi

    Jeff Bezos (57) ameachia rasmi nafasi ya Mtendaji Mkuu wa Kampuni maarufu ya Amazon iliyomfanya kuwa Bilionea, na nafasi hiyo itachukuliwa na Andy Jassy. Bezos ataendelea kuwepo katika Kampuni hiyo Mwenyekiti Mtendaji na ataelekeza muda wake mwingi zaidi kwenye Kampuni yake ya masuala ya anga...
  14. Matajiri wakubwa wanapotalakiana utajiri wao unakuwa mkubwa kuliko awali

    Niwape siri kuhusu matajiri wakubwa! Kwani matajiri wakubwa wanapo talakiana utajiri wao unakuwa mkubwa kuliko walivo kuwepo mwanzoni! Mimi nitapenda kueleza kisa kimoja cha Jeff Bezos CEO wa Amazon. Huyu jamaa baada ya ndoa kudumu miaka 25 utajiri wake ulikuwa upo wa kawaida kwenye list ya...
  15. Mkurugenzi wa Amazon, Jeff Bezos anakuwa mtu wa kwanza duniani kuwa na utajiri wa Dola Bilioni 200

    Kwa mujibu wa jarida ya Forbes Mkurugenzi wa kampuni ya Amazon, Jeff Bezos anakuwa mtu kwa kwanza duniani kuwa na utajiri wa Dola Bilioni 200 Imeelezwa kuwa, hivi sasa Bezos (56) ana utajiri wa Dola za Marekani Bilioni 204.6, huku Bill Gates anayeshika nafasi ya pili akiwa na utajiri wa Dola...
  16. Jeff Bezos (Amazon) atengeneza Dola bilioni 13 ndani dakika 15!!

    Thamani ya shea za Kampuni ya Amazon inc zimepanda kwa asilimia 12 kufikia dola 2,100 leo. Hii ni baada ya kuripoti Earnings za robo mwaka. Baadhi ya kampuni nyingine ambazo zimetoa reporti nzuri jana ni Apple, Tesla, GE, Facebook na Microsoft. Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…