Za jioni jamani,
Kwa Imani yangu iliyonikuza tuaamini Kuna Jehanamu,,katika kitabu cha mwanzo sura ya kwanza tunaona uumbaji wa kila kitu,Mbingu,Nchi,binadamu na wanyama hata mimea na kadhalika.
Ila kuumbwa kwa hii sehemu ya kutisha kuliko zote hatujaona uumbaji wake,, JEHANAM ILIUMBWA lini...