Jenerali Musugiri ambaye amewahi kuwa Mkuu wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania [JWTZ], amefariki dunia leo Oktoba 29, 2024 jijini Mwanza alikokuwa akitibiwa. Mazishi yanatarajiwa kufanyika nyumbani kwake, Butiama mkoani Mara.
=====
WASIFU
Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Mstaafu, Jenerali...
Jenerali mstaafu David Bugozi Waryoba Musuguri alizaliwa Januari 4, 1920 katika Kijiji cha Kumuruti, Masabha. Sasa sehemu hiyo inajulikana kama Nyasirori, akiwa mtoto wa tatu katika familia ya mzee Musuguri wa Nzangho.
Alipozaliwa aliitwa jina la Waryoba, ikiwa ni ishara kwamba alizaliwa...
Luteni wa jeshi la Uganda (UPDF) alivyo ziingiza vitani Tanzania na Uganda.
#Sehemu #ya - 1
Kuanzia leo nitawaletea makala mfululizo zinazohusu Vita ya Kagera kati ya Tanzania na Uganda iliyodumu kwa miezi sita kati ya mwaka 1978 hadi 1979.
Vita hiyo ilianzia mkoa wa Kagera unaopatikana...
MKUU wa Majeshi mstaafu nchini Tanzania, Jenerali David Musuguri maarufu ‘Chakaza’ au Mtukula, ametimiza umri wa karne moja (miaka 101) tangu alipozaliwa Januari 4, 1920.
CDF (Mstaafu) kuanzia 1980 - 1988.
Mmoja wa mashujaa wa vita vya Kagera 1978-1979.
Ameweka makazi yake Musoma Mkoani Mara.
Baada ya mkutano wa jana na wakazi wa Butiama hapa Mwitongo -eneo hili ni Mwitongo,lakini nyumba nilisema nimeibatiza jina " Sananda".
Baada ya ule mkutano mdogo wa jana,leo Makongoro atakutana na Jenerali Musuguri kabla na kwenda Dodoma kuchukua fomu.
Ni ajabu hawa watu wanavyopigana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.