Mkuu wa zamani wa jeshi la Rwanda na Waziri wa Usalama wa Ndani Jenerali Patrick Nyamvumba amewasilisha hati zake za utambulisho wa kidiplomasia leo kama Balozi mpya wa Rwanda nchini Tanzania.
Mwa.nyamvumba aliwasilisha barua zake za utambulisho kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa...