Great Thinkers,
Nipend kuchukua fursa hii kumshukutu Mkurugenzi wa TRC Kadogosa kwa kufuatilia na hatimaye kufanyia kazi kero ya viyoyozi jengo la abiria Kituo cha Magufuli, yaani mpaka tunaondoka hapo Dar kwenye jengo viyoyozi ndiyo vilikuwa vinaelekea kupata baridi, na kwenye train leo ni...