DODOMA - BUNGE limepitisha Muswada wa Marekebisho ya Sheria ya Shule ya Sheria Tanzania wa Mwaka 2024 ambao umeondoa sharti la kila mhitimu wa shahada ya sheria kupita katika shule hiyo.
Sharti hilo lilimtaka kila mhitimu wa shahada ya sheria nchini kulazimika kupitia na kufaulu masomo ya...
Inafaa kujenga jengo jipya (kubwa) la Bunge Dodoma nje ya mji huko ili kuimarisha Ulinzi na kuongea nafasi ya maktaba na maegesho ya Helikopta na misafara. Pia sehemu za kupumzika ziongezwe