Jesca Mtambasavangu (1975) ni Mwanasiasa kutoka Chama Cha Mapinduzi (CCM), amewahi kuwa Diwani wa kuchaguliwa Kata ya Kitanzini, mwaka 2012-2017 alikuwa Mwenyekiti wa CCM Iringa, na 2020 alichaguliwa kuwa Mbunge wa Jimbo la Iringa Mjini.
Salaam Wakuu,
Nianze kuwatwanga maswali, hivi, enzi zenu ninyi wazee mlipokuwa mnatumia boon kusaidia familia zenu nani aliwaingilia huko? Mlipokuwa mnatumia boom kuwalipia wadogo zenu ada na kuwasaidia pesa za kujimu ili nao waweze pata elimu kama wewe kuna aliyewaingilia kwenye matumizi yenu...
Mbunge wa Iringa Mjini Madam Jesca Mtambasavangu bila kumung'unya maneno ameshutumu vikali tabia ya wanavyuo kutumia Fedha za Mkopo wa Kujikimu Boom kubeti badala ya kusoma na kutumia Kwa malengo yaliyokusudiwa.
Akiongea Bungeni Kwa Uchumi amewashangaa Vijana wanaodhani betting itawatoa...
bodi ya mikopo
boom kubeti
elimu chuo kikuu
heslb
jescamtambasavangu
kukopesha mkopo
kukopeshwa boom
mikopo chuo kikuu
mikopo elimu ya juu
mkopo elimu ya juu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.