jeshi la polisi kenya

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Video: Raia Wakenya wachachamaa baada ya mtu aliyejitambulisha kama Afisa wa Polisi kuhisiwa kutaka kumteka mwananchi mwenzao

    Wakuu, Kama ilivyotokea Kinondoni miezi michache nyuma, Wakenya nao wameamua kuchachamaa Soma: Video: Vurugu zazuka Kinondoni baada ya raia kugoma mwenzao kuchukuliwa na Polisi wakihofia Polisi huyo kuwa mtekaji Huko nchini Kenya eneo la Roysambu, kumetokea sintofahamu baada ya wananchi...
  2. Mindyou

    Mwili wa mtu aliyefariki wapatikana ukiwa unaelekea kwenye mto Ruhiru

    Wakuu, Wakati taifa la Kenya likiwa linazizima kuhusu matukio ya utekaji na mauaji, matukio kama hayo yameendelea kushamiri. Siku ya leo mwili wa mtu mmoja aliyefariki umeonekana ukielea kwenye mto Ruhiru. Mamlaka za nchini bado hazijatoa taarifa zaidi kuhusu tukio hilo. Source...
Back
Top Bottom