Wakuu,
Kama ilivyotokea Kinondoni miezi michache nyuma, Wakenya nao wameamua kuchachamaa
Soma: Video: Vurugu zazuka Kinondoni baada ya raia kugoma mwenzao kuchukuliwa na Polisi wakihofia Polisi huyo kuwa mtekaji
Huko nchini Kenya eneo la Roysambu, kumetokea sintofahamu baada ya wananchi...
Wakuu,
Wakati taifa la Kenya likiwa linazizima kuhusu matukio ya utekaji na mauaji, matukio kama hayo yameendelea kushamiri.
Siku ya leo mwili wa mtu mmoja aliyefariki umeonekana ukielea kwenye mto Ruhiru.
Mamlaka za nchini bado hazijatoa taarifa zaidi kuhusu tukio hilo.
Source...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.