jeshi la rwanda

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. T

    Jeshi la Rwanda lashambuliwa na FARDC

    Jeshi la wanamaji(marine) la Rwanda, lilokuwa linafanya dolia katika ziwa Kivu, karibu na kisiwa cha Idjwi, limeshambuliwa na jeshi la DRC lililopo katika kisiwa cha Idjwi. Ilikuwa mida ya saa moja asubuhi ya leo. Taaraifa za mwanzo zinasema boat yao imeharibiwa. Kwa mujibu wa raia waliopo...
  2. Tetesi: Col Joseph Karegire wa Jeshi la Rwanda auawa huko DRC Congo

    Habari za hivi punde ni kuuwawa kwa kiongozi wa mapambo wa jeshi la Rwanda nchi Congo. Majeshi ya Rwanda yapo nchini Congo yakisaidiana na majeshi ya M23. Mara kadhaa Paul Kagame amekuwa akikanusha kuhusika kwa nchi yake katika machafuko nchini Congo. Kufuatia kifo cha Col Joseph Karegire...
  3. U

    Mfahamu Jenerali Mubarakh Muganga Mkuu wa majeshi RDF Rwanda ambaye aliongoza uvamizi wa jiji la Goma

    Jenerali Mubarakh Muganga, Mkuu wa Majeshi wa Rwanda Defence Force (RDF), aliamriwa na Paul Kagame kuongoza operesheni ya kuteka Jiji la Goma. Mnamo tarehe 6 Januari 2025, alihamia Rubavu, mji wa Rwanda unaopakana na Goma, ambapo alichukua nafasi ya Kamanda Mkuu wa Operesheni ya kuivamia na...
  4. A

    2008-2025 JWTZ imezuia mapinduzi ya kijeshi ya Jeshi la Rwanda (RPF) mara 8 ndani ya Burundi

    Kuanzia mwaka 2008 hadi mwaka huu 2025, waasi wa kitusi wa Burundi likiwemo kundi la Red Tabara wamekuwa wakifadhiliwa na kupewa mafunzo na Rwanda kwa lengo la kufanya mapinduzi nchini Burundi. Mara nane zote wamejaribu kupindua serikali ya Burundi kwa nyakati tofauti ila wamekuwa wakishindwa...
  5. W

    PDF la vita inayoendelea DRC, wakongo wa Mashariki wanaonewa na serikali yao, wakombozi wao ni M23 na Rwanda

    Kabla ya kuilaumu Rwanda kuhusu suala la M23 katika Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC), nataka nikupatie historia fupi kuhusu kinachoendelea katika sehemu ya mashariki ya Congo. Hii ilianza vipi? Unachosikia kila mara ni kwamba Rwanda inaunga mkono waasi wa M23, na serikali ya DRC...
  6. Rwanda: Rais Kagame ateua wakuu wapya wa kijeshi na kijasusi

    Picha: Rais wa Rwanda, Paul Kagame Rais wa Rwanda, Paul Kagame amefanya mabadiliko hayo makubwa pasipo kuweka kwa sababu ya kuchukua maamuzi hayo yaliyohusisha Mkuu wa Jeshi na Waziri wa Ulinzi kufutwa kazi kwa wakati mmoja. Amemteua Juvénal Marizamunda kuwa Waziri wa Ulinzi akichukua nafasi...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…