Ni siku nyengine tuseme asante Mungu kwa kutuamsha tena.
Naomba niende kwenye mada.
Leo alfajiri nimepigiwa simu na mshakaji wangu wa kipindi Fulani hivi tuliendana sanaa ila ndio harakati za maisha zilitutenga.
Yeye kwasasa ni muuza mayai na alisoma engineering. Jamaa anasema biashara...