IPI TOFAUTI KATI YA “COME BACK” NA “GO BACK”?
Kwenye post hii, naenda kukupa tofauti kati ya “come back” na “go back”.
Maneno yote mawili “Come back” na “go back” humaanisha “rudi” au “kurudi”.
Mfano unaposema “come back home” unamaanisha ‘rudi nyumbani’, na ukisema “go back home” pia...
Dear all
I hope this list will be of use to teachers and students of English. Further details of the script used to illustrate pronunciation will be provided in a future post.
Have a nice weekend.
JM
Ukishaipakua application kutoka Playstore, utaifunugua na kupakua katuni zinazopatikana kwenye database yetu. Katuni hizi zina mb chache hivyo kuokoa data bundle na nafasi kwenye simu.
App hii ni ndogo na nyepesi hivyo inaweza kutumika kwenye simu zenye RAM na nafasi ndogo. Ingawa ni ndogo...