Disney's Animal Kingdom Lodge is an African-themed deluxe resort at the Walt Disney World Resort. It opened on April 16, 2001. The resort is owned and operated by Disney Parks, Experiences and Products.
Disney's Animal Kingdom Lodge is located in the Animal Kingdom Resort Area, adjacent to Disney's Animal Kingdom. It gives guests the opportunity to view grazing wildlife outside their rooms and public areas in the resort within proximity of the animals, conveying the feeling of being in an African savanna.
Wakuu jamii forum kisima Cha maarifa nataka nianze ujenzi nisaidieni ramani nzuri ya kisasa chumba sebule jiko choo ndani nitashukuru sana wakuu na ikipendeza kama mafundi mpo mpate na kazi kupitia huu Uzi
Nani Mwingine Anahitaji Jiko la Kisasa kwa Mahitaji Makubwa ya Kupika?"
Je ulikuwa unatafuta jiko kwa mahitaji makubwa ya kupika?
Kampuni ya jiko bomba sasa wamekuja na suluhu la majiko ya kupikia,
Katika taasisi mbalimbali zenye kuhudumia watu wengi
Hili Ni Jiko Kubwa La Kupikia Chakula...
Hizi ni dizaini za majiko ya nje kwa ambao wameshajipata au kwa ambao viwanja vyao ni vikubwa na wanapenda vitu vizuri
Bar wanajenga heshima kama kawa lakini home nako hawakusahau
Heshima juu ya heshima
Kwa wakazi wa Dar....
Jiko la gesi plate mbili (Hotpoint), mtungi wa kg30 na pipe yake pamoja na meza yake vyote nahitaji 100000...mzigo upo tegeta piga 0783350399 kama unahitaji...
Jiko ni jipya nimelitumia mizi2 tu.. na mtungi una gesi kidogo ya kuanzia.
Ni dharura (nasafri mkoani kwa dharura) naomba elf70 tu! Kama upo serious hata ukipungukiwa kidogo ilimradi initoshe nauli nayohitaji!
Whatsapp/piga 0784355775 - nipo MADALE MWISHO- DAR ES SALAAM)
Jiko ni jipya nimelitumia mizi2 tu.. na mtungi una gesi kidogo ya kuanzia.
Ni dharura (nasafri mkoani kwa dharura) naomba elf70 tu! Kama upo serious hata ukipungukiwa kidogo ilimradi initoshe nauli nayohitaji!
Whatsapp/piga 0685308583 - nipo MADALE MWISHO- DAR ES SALAAM)
Hili jiko limeboreshwa, wengi walioishi kwenye nyumba za serikali alizoacha mkoloni walikutana na majiko ya aina hii. Yale ya enzi zile haya kuş na sehemu ya umeme.
Enzi zile waliotumia majiko haya, walitumia matawi ya miti kama nüshayı. Enzi zile nchi ilikua bado na miti mingi sana...
Wasalam,
Mla Bata nimeukataa ukware, madunga embe sasa mimi basi, mwajuma, sikujua, waseme, zubeda, tumaini, Mimi na nyie baaaasi, natafuta jiko NIOE wakuu na jiwe langu nataka kulirusha nchini Eritrea, moyo wangu umekufa kwa watoto wa "kunama" na "saho"
Wandugu, kama kuna mtu ana uzoefu na...
Hakuna haja ya kununua bisi. Ni gharama ndogo sana kuzipika nyumbani kwa kutumia jiko la gesi.
Nunua mahindi ya popcorn. Kilo inauzwa 4,000 na ndonya 1,500.
Tenga sufuria kubwa kubwa jikoni. Weka mafuta. Pasha mafuta hadi yaive. Yakiiva punguza moto uwe mdogo kabisa na weka popcorn zako ndani...
Habari gani wakuu.
Ninauza jiko la kuchomea nyama ni mpya kabisa. Unaweza kuchomea nyama ya ng'ombe, mbuzi au kuku. Linafaa kwa mgahawani, bar au hata barabarani kwasababu linabebeka.
Bei yake ni Tsh 140,000 mazungumzo yapo !!
Nicheki WhatsApp: 0683535699
Wakuu nataka kuanza kupika mwenyewe sasa nikiangalia sina kitu hata kimoja jikoni.
Nataka niwe na jiko la kawaida tu.
Naombeni wenye majiko mnipe essentials zote na gharama zake roughly..
Utateseka kuuziwa majiko ambayo hayadumu mpaka lini? Hamia Jiko Bomba Leo....
Sifa za majiko yetu
1. Yame tengenezwa kwa chuma kizito, ni imara na yana dumu sana...
2. Unaweza kutumia mkaa, chenga za mkaa, Rafiki coal Briquettes, kuni, kokoto, vifuu vya nazi, magunzi ya mahindi...
3. Jiko...
Wadau habari zenu.
Nahitaji nyumba tajwa hapo juu kwa budget ya 150k mpaka 180k iwe ndani ya fence luku ya kujitegemea tafadhali.
Ikiwa kuanzia Moshono Corner/Kilimani mpaka Siara itapendeza zaidi.
Natanguliza shukran kwenu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.