jiko

Disney's Animal Kingdom Lodge is an African-themed deluxe resort at the Walt Disney World Resort. It opened on April 16, 2001. The resort is owned and operated by Disney Parks, Experiences and Products.
Disney's Animal Kingdom Lodge is located in the Animal Kingdom Resort Area, adjacent to Disney's Animal Kingdom. It gives guests the opportunity to view grazing wildlife outside their rooms and public areas in the resort within proximity of the animals, conveying the feeling of being in an African savanna.

View More On Wikipedia.org
  1. S

    Nyumba yenye chumba kimoja self sebule na jiko inaweza tumia tofali ngapi wadau

    Nyumba yenye chumba kimoja self sebule na jiko inaweza tumia tofali ngapi wadau
  2. Mwenye kujua kampuni gani nzuri ya jiko la gesi+umeme plet 4/6

    Habari za muda huu ndugu zangu wana JamiiForum, baada ya kukaa na kufikilia sana nataka kununua jiko la gesi la Gesi la Plet 6 (4-Gesi + 2-Umeme), nina familia ya mimi na shemeji yenu tu na sitaki kuja kununua tena Jiko uko mbeleni ndio maana nimeamua ninunue la plet izo 6 (USHAURI UNARUHUSIWA)...
  3. Nilitoa mahari mwaka jana mwezi Desemba. Lakini mpaka leo sijafuata jiko langu

    Ndo hivyo wakurugenzi. Mwaka jana nilikuwa na nia kabisa ya kitaka kuoa kutokana na upole, unyenyekevu, heshima na adabu aliyokuwa nayo huyo binti licha ya uzuri na rangi yake Mahari yenyewe haikuwa kubwa kiasi hicho, ni 300k tu. Niliitoa kiutani utani nikisindikizwa na ndugu pamoja na...
  4. Wanawake hawakai jiko moja

    Maneno haya yalitoka kinywani mwa babu yangu miaka kadhaa iliyopita. Na mara kwa mara nimeshuhudia na kuikumbuka kauli hiyo. Mawifi hawakai jiko moja..mama mkwe ndio kabisaa mwanzo wa kuonana wachawi..hata marafiki watacheka usoni utadhani wana raha...lakini kamwe nafsi zao katika mazingira ya...
  5. Utunzi Jiko la shamba

    Mpe kijembe hiki ex wako au kibaraka yoyote Jiko La Shamba Kwangu huwezi kutamba, nimekutoa thamani Ewe mnukia vumba, hufai kuwa jikoni Bado unao ushamba, mapishiyo ya nyikani Wewe ni jiko la shamba, halipikii mjini Makozi na karatasi, kwako wewe zote kuni Hujui venye mikosi, vyote watia...
  6. Wali kupika kwa gesi, unaweza kukausha?

    Wana jamii naomba maujuzi ya kupika wali kwa gesi hadi kuukausha kwake.
  7. Mama yake Jay Z avuta jiko

    Rapper Jay-Z's mother, Gloria Carter, has tied the knot with her long time partner, Roxanne Wilshire, in a star-studded wedding in New York. Jay-Z and his celebrity wife Beyonce were among those witnessing the event that happened on Sunday night. Hollywood celebrities in attendance included...
  8. K

    Jinsi Mungu alivyonishauri kupata jiko

    Nakumbuka nilikuwa nikilala mara nyingi peke yangu kila ilipokuwa ikifika saa Tisa usiku lazima niamke ghafla huku konga likiwa limesimama zima zima ndipo nikagundua ni Mungu ananishauri nioe haraka iwezekanavyo na sikufanya kosa nikamvuta Khadija haraka sana mpaka sasa kanizalia wana wanne...
  9. K

    Chumba master, jiko ndani Kigamboni, Magogoni [New] 💥

    Kigamboni magogoni, pc Chumba kimoja 1 master na jiko ndani Maji bure Kodi 180,000 kodi ya mwezi Miezi (6) Mita 15 barabara kubwa Vyumba vyote ni vipya. Piga 0712347749
  10. Naombeni Ramani ya Master, sebule, chumba self, jiko, study room

    Naombeni ramani simple nzuri ya kisasa. Roof ya kawaida ya bati (sivutiwi na contemporary roof). *Master room *Sebule/sitting room (kubwa) *Self bedroom *Jiko *Study room N.B: Ni kwaajili ya bachelor life. So public toilet itakuwa nje.
  11. Siasa za Kijungu Jiko, Penye Uzia, Penyeza Rupia!. Hakuna Mkate Mgumu Mbele ya Chai!, Hata Uwe Mgumu Vipi, Mbele ya Chai/Rupia, Lazima Utalainika!

    Wanabodi Waswahili wana vijineno neno vyao, ukivisikia unaweza kuviona ni kama vineno vya Utani!. Moja ya vineno hivyo ni "Penye Uzia Penyeza Rupia!" na "hakuna mkate mgumu mbele ya chai". Siasa zetu ni siasa za kijungu jiko, yaani siasa za hand to mouth kwa kutegemea ruzuku!. Hizi ni siasa...
  12. Room Moja Jiko na store

    Wakubwa katika bwana nahitaji good desing and very good economy ambaye anaweza kunipa hiyo mambo kama jaribio akiweza kuitimiza within budget nampa kazi nyingine ila awe mkweli kwangu uongo sijui siasa sijui ukanjanja aisee sitaki. nahitaji a good fundi ambaye anaweza jenga a good house ya one...
  13. INAUZWA Jiko Koa kwa elfu 46 tu!

    Haya ni majiko ya kisasa yenye material maalum ya kuzuia joto lisipotee hivyo kukuwezesha kutumia mkaa kidogo tu kuivisha vyakula. Unapewa pamoja na warrant ya mwaka mmoja. Kwa mkoa Morogoro mzigo unakufikia BURE, mikoa mingine tunatuma kwa njia ya basi.
  14. S

    Jipatie jiko la gesi la kulipia kidogo kidogo kama luku kuanzia sh 1000

    Hili ni zuri sana, haikulazimishi kulipia mtungi mzima kwa Sh 23000 au Sh 58000. Kwa Sh 1000 yako tuu (buku) unanunua sehemu ya gesi iliyo kwenye mtungi na kupikia. Achana na zile gesi ikiisha unatelekeza mtungi na kurudi kwenye mkaa au kulazimika kutibua bajeti yako uliyojiwekea. Unalipia...
  15. M

    INAUZWA Jiko la gesi la biashara na mtungu wake-100,000 tu

    Linauzwa: jiko la gesi la biashara na mtungu wake-100,000 tu. Liko bunju b piga 0767 72 73 88
  16. Tahadhari za matumizi ya jiko la mkaa

    Haushauriwi kujifungia chumbani ukiwa unalala au wakati wa kupika chakula wakati unatumia jiko la mkaa. Aina hii ya jiko huzalisha gesi yenye sumu inayoitwa Carbon monoxide (CO) ambayo huufanya mwili usipate kiasi cha kutosha cha hewa safi ya Oxygen inayohitajika kwenye upumuaji. Ikiwa...
  17. A

    Natafuta chumba, sebule choo na jiko Kigamboni

    Habari ya wakati huu wakuu. Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu, madalali wamenichosha hakika na wasumbufu na hawatimizi hitaji😥 Natafuta chumba, sebule choo na jiko ndani kwa bajeti ya 150,000. Kiwe mazingira salama na ndani ya uzio(sitokuwepo muda mwingi) Maeneo ni Kigamboni...
  18. Chanzo moto ulioteketeza maduka Njombe ni jiko la mkaa, walitumia kupunguza baridi

    Baada ya moto kuteketeza maduka Matano na ghala za kuhifadhia bidhaa za maduka yaliyopo katikati ya Mji wa Njombe imebainika kuwa chanzo ni moto uliokuwa katika jiko la mkaa ambao ulitumika kwa ajili ya kupunguza baridi. Inspekta Lotma Dauda ambaye ni Afisa Oparesheni la Zimamoto na Uokoaji...
  19. M

    INAUZWA Nunua Jiko la Gas na Mtungi wake-TZS. 150,000

    WADAU NAUZA JIKO KUBWA LA GESI (LA BIASHARA) PAMOJA NA MTUNGI WAKE WA GASI MKUBWA WA KG 30 KWA TZS 150,000 TU. VIKO BUNJU DAR ES SALAAM PIGA 0767 72 73 88.
  20. M

    Jiko la gesi la biashara na mtungu wake-180,000-Bunju B

    Jiko la gesi la biashara na mtungu wake-180,000-Bunju B
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…