jimbo la arusha mjini

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. mbinguni

    Jimbo la arusha mjini na monduli yagawanywe

    Jimbo la Arusha mjini limekuwa na ongezeko kubwa la watu. Itapendeza kama litagawanywa. Hii ni kwa sababu ktk muda mfupi sana uliopita,kumekuwa na kuzaliwa kwa mitaa mipya mingi ambayo inahitaji uwakilishi bungeni. Mfano mzuri ni eneo naarufu la kwa Mrombo ambalo liko busy sana kiuchumi na lina...
  2. Erythrocyte

    Pre GE2025 Jimbo la Arusha Mjini sasa limekuwa kama Pombe ya Ngomani, Unanunua Wapambe wakuombe Ugombee Ubunge halafu unawakubalia, Imeisha

    Bado sijajua Kwanini Wanaccm wa Arusha Mjini wamekuwa Wajinga kiasi cha kutia aibu namna hii, Yaani Diwani mzima baada ya"kununuliwa"anamwaga chozi hadharani kumlilia mtu mgeni na ambaye tayari anacho cheo kingine ili agombee Ubunge! Huu ni udhalilishaji wa Wana Arusha waliokipigania chama chao...
Back
Top Bottom