jimbo la bumbuli

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone mwamba

    Pre GE2025 Wananchi wa Bumbuli: Hakuna wa kumtoa Januari Makamba labda aache mwenyewe

    Wananchi wa Jimbo la Bumbuli mkoani Tanga, linaloongozwa na Mbunge Januari Makamba, wameeleza shukrani zao kwa Serikali kwa kuwafikishia miradi mbalimbali ya maendeleo kupitia mbunge wao, ikiwemo huduma za umeme, maji, na ujenzi wa zahanati. Wakizungumza kwa nyakati tofauti, wananchi hao...
  2. I

    Pre GE2025 Bumbuli: Wananchi wamlalamikia January Makamba kuwapelekea Madrafti huku mambo mengine ya kimaendeleo yakisimama

    Wananchi wa Bumbuli mkoani Tanga wamechukizwa na tabia ya mbunge wao January Makamba kuwapa ma draft kwa ajili yakuchezea wakati barabara ni mbivu na huduma zingine nizashida sehemu hiyo.
Back
Top Bottom