Mgombea Uenyekiti wa Kijiji cha Ilula, Kata ya Ilula, Jimbo la Kwimba, Silvester Cherehani amesikitishwa kuona watu wa kijiji hicho wakipata misukosuko kwa sababu ya kuuliza mapato na matumizi ya kijiji.
Amesema "Kuna vitisho vingi. Hapa ukiuliza fedha. Unawekwa ndani. Naomba ndugu zangu...