Na, Laudence Simkonda-Momba
Condester Michael Sichalwe, anayejulikana kama Mundy, ni mwanasiasa mchanga na mwenye nguvu akiwakilisha jimbo la Momba mkoani Songwe, kama Mbunge, amejipatia umaarufu kwa michango yake muhimu katika maendeleo ya jimbo lake. Kazi yake imejikita katika kutatua...
KAMATI YA SIASA YA CCM MKOA WA SONGWE YAKUBALI MWALIKO WA MBUNGE WA JIMBO LA MOMBA CONDESTER SICHALWE
Na. Mwandishi Wetu-Momba
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Songwe Radwall Mwampashi leo tarehe 13 Julai 2024 akiwa ameambatana na Wajumbe wa kamati ya siasa ya mkoa huo wameitika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.