jimbo la ubungo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Hotuba ya Tundu Lissu akizungumza na viongozi na wanachama wa jimbo la Ubungo akitoa elimu ya kauli mbiu ya movement ya NO REFORMS, NO ELECTION

    https://youtu.be/5Y7PcWedUNE?si=nXAlvjXG1G6V-4Mu KWANINI NO REFORMS, NO ELECTION? Ni kwa sababu: 1. Kwa utaratibu wa kisheria, kikanuni, kikatiba na wa kiserikali, uchaguzi salama usioambatana na mauaji, huru, wa wazi na haki hauwezekani tena kufanyika ktk nchi hii.. 2. NO REFORMS, NO...
  2. Nay wa Mitego anyemelea Jimbo la Ubungo

    Msanii tajwa anajipigia promo ili 2025 agombee ubunge kupitia jimbo la Ubungo. 2025-2055 Ni Professor Kitila Mkumbo (PhD) CCM tu. https://m.youtube.com/watch?v=wMdB_2ZLgy4&pp=ygUWbml0YXNlbWEgbmV5IHdhIG1pdGVnbw%3D%3D
  3. Pole sana ndugu Kimaro a.k.a Trump kwa jibu ulilopewa na Rais

    Habari zenu wakulungwa wa JamiiForums Nachukua nafasi hii kumpa pole Ndugu Kimaro a.k.a Trump kwa jibu alilopewa na rais wetu wa JMT pale Mbezi wilaya ya Ubungo. Mimi Mangi niliyekulia Dar es Salaam bado nairudia rudia hii clip bila kujielewa! Hakika mitano tena.
  4. C

    Uchaguzi 2020 Mchague Boniface Jacob ubunge Jimbo la Ubungo

    Kijana anayejali watu
  5. Uchaguzi 2020 Mzee wa kutokomeza Mwakasaka Donard atia timu jimbo la Ubungo

    HABARI, Tume ya Taifa ya Uchaguzi NEC mapema tarehe 25 Agosti 2020 ilimteua Ndugu MWAKASAKA BOAZ DONARD kuwa mgombea ubunge Jimbo la Ubungo kupitia Chama Cha Sauti ya Umma (SAU). Mwakasaka ni mtaalamu wa masuala ya Uchumi na Maendeleo ya kijamii ameahidi kutokomeza yote yaliyoshindikana katika...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…