jina zuri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    Waislam msiwaite wenzenu makafiri,sio jina zuri

    Ndio, maana kimaana ya kugha ya kiswahili 'kafiri' ni mtu asiyeamini. Na hii ipo hasa kwenye hizi dini kubwa mbili duniani. Eti we muislam,mtu ambaye hakuzuii kujifuza dini yako,hakuzuii kufanya ibada,pengine mtu huyo ni mfanyakazi wako/boss wako/mama/baba yako n.k. je ukafiri wake ni upi ikiwa...
  2. Chinga One

    Jina Zuri la kiafrika la mtoto wa kiume

    Wanetu nipeni jina la mtoto wa kiume simpo lenye taste ya kiafrika,nimetoa sana majina ya kizungu kwa watoto wangu this time nataka kuonja ladha ya nyumbani,ili nisiwe mtumwa wa kuukataa unyumbani. Chalii atakuja duniani siku sio nyingi.
  3. GoldDhahabu

    Kila mtu anataka atambulike kuwa ni "somebody"

    Wanasema, mpe mbwa mzee jina zuri! Anaweza asiwe na uwezo wa kuwinda, lakini kutokana na kupewa jina zuri, atajitahudi kuliishi hilo jina. Mwaka Jana, nikiwa mkoa fulani, nilitaka kumpa mzee mmoja kikazi fulani sehemu nilikokuwa nikifanyia shughuli zangu. Kusudio langu halikufanikiwa kwa sababu...
  4. Jaji Mfawidhi

    RC Chalamila: Umeme Dar upo, shida ni miundombinu

    Mkuu wa Mkoa wa Jiji kuu la Dar es salaam, mpeni jina zuri kanisa kutokana na kauli zake! Mimi namuita Profesori. Hiyo mikoa mingine ambayo hakuna umeme nako ni miundombinu ama umeme umekataa kuingia kwenye mabwawa?
  5. passion_amo1

    Jina zuri la mtoto wa kike

    Wakuu habari za uzima? Poleni na mihangaiko ya kuendelea kulijenga taifa letu. Wakuu naomba suggestion ya jina la mtoto wa kike zuri. Ahsanteni.
  6. Doto12

    Wengi mnaochagulia wanenu majina. Jina zuri haliitwi itwi

    Si vema kila unapompa mtoto jina ukatoa like kila anapokuwa linaitwa. Kwa mfano Frank, Frank, Frank, Frank Yaani jina linaitwa watoto wengii sio poa. Au Anna Anna kila sehem Anna
  7. Engager

    Kama lilikosekana Jina zuri la 'Bone Marrow' katika kiswahili, bora lingetoholewa hilo hilo la kingereza

    Ingekuwa nafuu hata tukisema 'Boni maro'. Yaani ndo UBOHO?! hivi aliyepitisha hili neno alikuwa mswahili kweli? Jamani Uboho inatia ukakasi kutamka. Ni nani mwenye mamlaka atuangalizie jina mbadala?
  8. JF Member

    Naomba Jina zuri la Biashara ya CHAKULA

    Wadau. Mini na Shemeji yenu tumeamua tuanzishe Biashara ya CHAKULA kwa maana Mgahawa Pamoja na Catering. Tutakuwa tunafanya delivery. Shida yetu hapa ni jina la Biashara lenye kuvutia wateja. Kwa vile najua humu JF ni wajuvi wa mambo. Naomba mtusaidie jina la biashara.
  9. Abie

    Naomba mnisaidie kupendekeza jina zuri na 'unique' la mtoto wa kiume wa Kiislam

    Wanabodi salaam! Nimefanikiwa kupata mtoto wa kiume, sasa kwa jinsi nilivyokuwa na furaha na ujio wake natamani nimpe jina zuri na la kipekee. Najua humu ndan kuna wajuvi wengi so karibuni sana
  10. Tajiri wa upendo OG

    Jina gani zuri naweza kulitumia kwenye bar yangu?

    Habari ndugu, jamaa na marafiki katika mihangaiko yangu ya hapa na pale baada ya kusoma mawazo ya wadau humu, nimefanikiwa kufungua Bar nimekuja kwenu ili nipate jina zuri ambalo naweza kulitumia kwa ajili ya hiyo bar. Asanteni.
Back
Top Bottom