The Jino (also spelled Jinuo) people (simplified Chinese: 基诺族; traditional Chinese: 基諾族; pinyin: Jīnuò zú, endonym🙂 are a Tibeto-Burman ethnic group. They form one of the 56 ethnic groups officially recognized by the People's Republic of China. They live in an area called the Jino Mountains (Jinuoshan 基诺山) in eastern Jinghong, Xishuanbanna, Yunnan province.The Jino are one of the less numerous of the recognized minorities in China and the last one included as "national minority" because they were only recognized in 1979. A former name used for the Jino, Youle, means "following the maternal uncle," an indication of a matrilineal past.The Jino have a population of 20,900 people according to the census of the year 2000.
Most of the Jino concentrate in Jinoshan, in a series of mild hills with wet climate near Mengyang Township in Jinghong Municipality, Xishuangbanna Dai Autonomous Prefecture of Yunnan Province. They live in an area of about 70x50 km. They live in subtropical rainforest, home of elephants, wild oxen and monkeys.Among their cultural practices is tooth painting, in which soot made from pear trees is used.
CCM ni chama kinachobadilika kutokana na wakati na mazingira. Sasa ni wakati sahihi kurudi katika siasa za awamu ya tano.
Ni wakati sahihi Sabaya na wenzake warudi ili watakaoleta ubabe wanyooshwe barabara.
Inatakiwa ku-fine tuneand sharpen the instruments/tools
Hello ,happy new year.
Ukiwa unaumwa jino , unashauriwa kwenda hospital Kwa ajili ya matibabu zaidi .
Ila pia ikiwa upo mbali na hospatli Ila maumivu yamekuzidia Sana .
Chukua maji ya moto changanya na Chumvi baada ya hapo weka mdomoni usukutue Sana kuanzisha dk 5-10
Rudia rudia hilo zoezi...
Neno Crown sio geni Sana , nahisi umelisikia. Ni aina ya meno bandia ambayo hutengezezwa maabara ili kuzibia jino / mapengo kwenye meno halisi yaliyotoboka au kutoka/ kuvunjika ili imusaidie mtu kutafuna chakula, Muonekano, Matamshi.
Kuna Aina zaidi ya saba za Dental Crowns
1. Metal ceramics...
Habari za usiku huu,
Nina jino upende wajuu kushoto limetoboka lina miaka 5 sasa lakini haliumi mpaka ukilitumia kutafunia ndio linaleta maumivu ya muda baadae kidogo yanaacha ni nikaamua kuwa natafunia upende mmoja wa kulia kwa miaka sasa ila shida iliopo nikilitafunia kitu kwa bahati mbaya...
Jino langu lilizibwa permanent baada ya kufanyiwa procedure inaitwa root canal kama sijakosea.
Nimekaa jino likiwa sawa tu kwa miezi 6 ila sasa limeanza kuuma nini shida?
Fikiria wewe ni mfanyabiashara mkubwa sana mjini, unamiliki kampuni iliyopata heshima kubwa. Baba yako ni mkuu wa majeshi mstaafu, kaka yako ni kanali wa jeshi, shemeji yako ni mbunge na mtoto wa Rais wa nchi. Mjini kote wanatambua nguvu kubwa ya ushawishi waliyonayo familia yako.
Unapewa...
Mimi naapa nilikuwa siwezi kula , kunywa wala kulala, meno yametoboka yanauma mno hadi machozi yanakuja mi mwanaume nakaza hakuna kulia, mishipa ya kichwa inatoka kichwa kinauma mno, nikamuuliza msela mmoja boda boda nifanyeje kupata ahueni, sidhani kama alimaliza la saba B.
Mimi nina madigrii...
Wakazi wa mtaa wa Luguruni (Jino kwa Jino) tumekosa maji toka July 2023, DAWASA hawatoi majibu ya kuridhisha.
Na si mbali na ofisi za Mkuu wa wilaya ya Ubungo lakini hakuna utatuzi wowote wala jitihada za kuleta maji.
Kwema Wakuu!
Mbinu bora ya wakati wote ambayo hata mimi Taikon ninatumia kwenye mahusiano yangu ambayo nimefanikiwa na nitafanikiwa. Yaani kwenye jino kwa jino kufanikiwa sio hiyari bali lazima.
Nipende nikuonyeshe upendo maradufu.
Nijali nikujali.
Niheshimu nikuheshimu.
Niletee upuuzi alafu...
Habar wadau !!!
Nimejaribu pitia majarida kadhaa uko mtandaoni zipo tafiti nyingi zinafanywa na wanasayansi kujua km upo uwezekano wa mtu mzima kuota meno km ilivyo kwa viumbe km papa.mamba nk
inasemekana kuwa ili jino liote itahitajika stem cell katika fizi ili ikuwe na kuwa jino zipo...
Habar wadau,
Kuna wakati ukifika mtu unang'oa jino una miaka lets say 32. Je, upi ni uamuzi sahihi?
Nimefuatilia nimesikia kuwa jino pekee lunaloweza kuota tena ni deduced teeth na sio permanent teeth deduced tooth yale meno ya watoto stem cell inakuwa ipo juu ya fizi so likitoka linaota...
Isack Robertson (45) mkazi wa Sombetini jijini Arusha amefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Arusha akikabiliwa na kosa moja la shambulio la kudhuru mwili.
Mshitakiwa huyo amefikishwa mahakamani hapo leo Jumatano Mei 31, 2023 mbele ya Hakimu Mkazi wa mahakama hiyo Jenipher Edward.
Katika...
Jeshi la Polisi mkoani Arusha Mei 27, 2023 limefanikiwa kumtamata mtuhumiwa aitwaye Isack Robertson (45) mkazi wa Sombetini Jijini Arusha kwa tuhuma za kumpiga na kumjeruhi mke wake aitwaye Jackline Mkonyi (38) mkazi wa Sombetini jijini humo.
Akitoa taarifa hiyo leo Mei 28, 2023 Kamanda wa...
Kulitolewa wito kuwataka vyama kufanya siasa za kistaarabu.
Kama vile wametumwa yamezuka magenge ya chawa yenye rabsha na uzushi wa kila aina mitandaoni, kupalilia fitna zozote ndani ya vyama vingine.
Kwamba wenye chawa hawakemei hali hizi yawezekana ndiyo sera zao.
Torati ya Mussa...
Hatua za ukuaji wa mtoto huambatana na mabadiliko mengi ya kimwili. Mojawapo ya mabadiliko hayo ni kung’oka kwa meno ya awali na kuota kwa meno ya kudumu.
Mdau wa JamiiForums ametoa hoja kuwa meno ya mtoto mwenye umri kati ya miaka 6-7 yanapotingishika kisha yakaendelea kukaa pasipo...
Habari za muda huu,
Msaada kwa anae fahamu dawa ya kutibu maumivu ya jino watu wengi wananishauri kung'oa ila mi naona sio njia nzuri...
Naomba kama kuna anae fahamu dawa za hospital au hata za kienyeji mana sio kwa maumivu haya jana usiku mpaka nikameza Magnesium asee.
Hivi sisi ni binadamu kamili kweli au bado tuko katika transition stage?
Huko Uganda binadamu wanakulana wenyewe kwa wenyewe kama wanyama pori.
Sikiliza clip hiyo hapo nimeiambatanisha.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.