Habarini ndugu zangu naomba tuwapigie ndugu zetu RAMADHANI BROTHERS wanaoiwakilisha TANZANIA 🇹🇿 kwenye mashindano ya America Got Talent. Tufanye hili jambo haraka iwezekanavyo ili waweze kushinda, ikumbukwe vijana hawa wameingia kwenye Fainali ya mashindano haya.
Upigaji kura inafungwa saa...