Ni Heri kidonda cha mguu kuliko cha moyo.
Watu wengi wanapitia mateso makali tena yanayochoma zaidi ya moto wa nyika na hii ni kutokana na kushindwa kusahau makosa waliyofanya kipindi cha nyuma. Hivyo, naomba andiko hili likakutoe kwenye gereza hilo kwa kujisamehe makosa yako.
Ni sawa...