joel misesemo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Suley2019

    MC Joel Misesemo aliyejirusha ghorofani azikwa Kinondoni tarehe 26/05/2023

    Joel Misesemo enzi za uhai wake Mwili wa MC Joel Misesemo Mkazi wa Mwananyamala ambaye alijirusha kutoka ghorofani kwenye jengo la Derm Plaza lililopo Makumbusho Kijitonyama na kufariki, umezikwa leo katika makaburi ya Kinondoni Jijini Dar es salaam. Kwa mujibu wa Polisi Dar es salaam...
  2. R

    TANZIA Joel Misesemo afariki dunia kwa kujirusha kutoka ghorofani jengo la Derm eneo la Makumbusho, Dar

    Pale Mwanga Tower, Makumbusho limetokea tukio la mtu asiyefamika kujirusha kutoka gorofani, ambapo inasemekana tukio hilo limetokea mapema leo majira ya saa kumi na moja asubuhi. Mpaka majira ya saa mbili asubuhi bado mwili wa mtu huyo ulikuwa eneo hilo. Taarifa zaidi zitakujia kadri...
Back
Top Bottom