Hivi ndivyo unavyopaswa kufahamu ili usipitwe na wakati, hakuna tena ccm Tarime, hii ni baada ya John Heche kuiteketeza kabisa, Wamebaki Polisi tu.
Naomba nifupishe mada, Maana kwa sheria za dini ni dhambi sana kumjadili Marehemu.
Ushahidi huu hapa, Hiki ni kijiji cha Borega, Kata ya Ganyage...