jokate

Jokate Mwegelo is the District Commissioner for Kisarawe. She is a politician. Before being appointed, she was an entrepreneur and a media personality. In July 2018, the President of the United Republic of Tanzania Dr. John Pombe Joseph Magufuli appointed Hon. Jokate Mwegelo as the new District Commissioner for Kisarawe district in Pwani region. She is a member of Chama Cha Mapinduzi, previously served as Secretary in charge of Public Relations and Mobilization UVCCM - youth wing of Chama Cha Mapinduzi.
She is one among Tanzania's youngest influential leaders and entrepreneurs. In 2017, Hon.Mwegelo was included in Forbes 30 Under 30 in Africa. In August 2017 she was named by Africa Youth Awards among the 100 Most Influential Young Africans.. The 2018 Most Influential Young Tanzanians by Avance Media place her as the third most influential young Tanzanian and the most influential young Tanzanian under the category of Law and Governance .

View More On Wikipedia.org
  1. J

    #COVID19 DC Jokate: Tunaotumia usafiri wa umma tuchukue tahadhari dhidi ya ugonjwa wa UVIKO-19

    Mkuu wa wilaya ya Temeke Mh. Jokate akisimamia zoezi la kuhakikisha watumiaji wa Vyombo vya usafiri wa umma wanavaa Barakoa ili kujikinga na ugonjwa wa UVIKO 19. Pamoja na utekelezaji wa Maelekezo ya Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Amos Makala ya kuhakikisha Wananchi wanachukua Tahadhari ya...
  2. J

    DC Jokate: Temeke kuwa na mahakama ya mfano nchini

    TEMEKE KUWA NA MAHAKAMA YA MFANO NCHINI. Katika kuhakikisha kunakuwa na uharakishwaji wa uendeshwaji wa kesi zinazohusu mirathi, talaka na zile zinazohusu watoto. Serikali inakamilisha ujenzi wa jengo la kisasa la mahakama katika eneo la Chang’ombe wilayani Temeke litakalokuwa maalumu kwa...
  3. J

    Jokate Mwegelo: Mpaka Wananchi wanalalamika tupo wapi?

    DC TEMEKE JOKATE MWEGELO:"HILI NI SUALA LINALOGUSA TAIFA" Mkuu wa wilaya ya Temeke Mhe. Jokate Urban Mwegelo ameungana na wakuu wa idara pamoja na wataalamu kutoka mamlaka ya mapato Tanzania (TRA) na uhamiaji katika ziara ambayo amegundua changamoto mbalimbali. Mhe. Mwegelo ametembelea...
  4. C

    Hizi taa za Jokate Mwegelo mbona bei ghali hivyo jamani au zina link na satelites?

    Au labda ni teknolojia kama ya Mossad , CIA? isije ikawa zina satellite ndani, taa 32 kwa milioni 102 ukipiga hesabu ni kama vile taa moja ni tshs 3,187,000.
  5. M

    DC Jokate, huu ni muda sasa wa kubadili aina ya mavazi yako

    Kwako DC Jokate Kwanza nikupongeze kwa kazi nzuri unayofanya, binafsi nakukubali sana aina ya uongozi wako, umefanya kazi nzuri sana huko Kisarawe. Pia, sina wasiwasi kuwa hata hapa Dar ulipohamishiwa katika wilaya ya Temeke utafanya vizuri. Naamini kabisa kuwa kwa jinsi unavyochapa kazi...
  6. S

    Jokate nae yumo?

    Naona jina lake nae limeanza kutajwatajwa mpaka Lema nae anamtaja. Wacha tusubiri kuona huu mtandao ukiingia matatani kama kweli ipo dhamira ya kuwashughulikia. Masikini Dada wa watu na urembo wake anaweza kutukumbusha ya Kanumba na yule dada mrembo(Lulu) aliekaa jela.
  7. Jokate: Kila jambo na wakati wake

    DC wa Kisarawe na mlimbwende Jokate Mwengelo umeuarifu Umma kupitia account zake za mitandaoni ya kwamba "sasa wakati wa Mungu umefika...." Wengi wameona kama mdada Huyo kuhusu maswala yake ya mahusiano yamekuwa sawa awamu hii ya Sita tumpongeze Jokate
  8. J

    Wakuu wa wilaya wengi wana tabia kama za Ole sabaya labda uwatoe Gondwe na Jokate, Sabaya media imemponza!

    Wakuu wa wilaya wengi tu uongozi wao hautofautiani sana na wa Ole sabaya sema tu Ole kiki za kutumia media ndio zimekuwa zikimuumbua. Lakini kuna maDC na maDAS wana roho za uovu kuliko huyo Ole sabaya. Fuatilia utagundua ukweli. Naamini tochi ya mama itamulika kabati zima na kuuwa chawa wote...
  9. DC Jokate Mwegelo na Uongozi wenye tija

    Ama kwa hakika Tanzania ingepata viongozi wenye kujitoa bila kujali maslahi yao binafsi,ubabe,majivuno,ukandamizaji na kiburi cha madaraka nchi ingesonga sana hii Kwa anayoyafanya huyu binti kule Kisarawe hakika yanafaa kuigwa,sema tu nature ya wakazi wa wilaya yenyewe sio wachakarikaji...
  10. Hivi Magufuli ana shida gani na wanawake? Mbona huwatolea mifano mingi ya kudharirisha au unyonge na kuwatoa uthamani?

    Rais Magufuli: Nimewaelewa Mbunge, Mkuu wa Mkoa na Wananchi kuwa mnataka barabara ya lami itoke hapa (Kisarawe) hadi Mbuga ya Taifa ya Nyerere - Ndugu zangu nimekubali, ili Wasukuma wawe wanapita hapa na kuchukua Wanawake kwenda nao Mbugani na kuwarudisha hapa #JFMagufuli
  11. S

    Umuhimu wa huduma za ushauri wa kitaalamu (consultancy)

    Habari Tanzania! Umewahi kujiuliza ni kwa kiwango gani Ushauri wa Kitaalam (Consultancy) ni muhimu katika uanzishaji, endelezaji na kufanikisha shughuli zetu za Kibiashara, Miradi mbalimbali, Ujasiriamali, n.k? Pia, kwa kiasi gani watanzania tumekuwa tukipata ushauri toka kwa Wataalamu wetu...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…