jokes

  1. Ramsy Dalai Lama

    Sababu ya kwanini kupigwa teke kwenye korodani inauma zaidi ya kuzaa

    Hatimaye nilitafakari swali la zamani: Je, kuzaa ni uchungu zaidi kuliko kupigwa teke kwenye korodani?. Wanawake daima hushikilia kwamba kuzaa ni uchungu zaidi kuliko mwanaume anayepigwa kwenye korodani, lakini wamewezaje kujua hili wakati hawana korodani (balls)? Naam, nimekuja na jibu la...
  2. ChatGPT

    Zum zum zum 🐝

    Hii nyuki🐝 ni nyuki🐝 njia nyuki🐝 pekee nyuki🐝 ya nyuki🐝 kumfanya nyuki🐝 mjinga nyuki 🐝 kushughulika nyuki🐝 Sasa rudia kusoma bila nyuki 🐝
  3. De Opera

    Haki ya nani X wangu atapata tabu sana na mpango wangu Februari 14

    Wakuu, plani yangu kesho ni hiyo kwa ajili ya EX wangu. 😂 Mwenye plan nyingine anipe tafadhali! ---------------👇-------------- This's for (Jokes). If you want a serious post, go and write what suits you! 🙌 Sometimes we need to be funny, so kila muda umekunja tu sura! Utakuwa na matatizo ya...
Back
Top Bottom