joseph butiku

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. N

    BUTIKU: Ndani ya Nchi yetu wapo watu wanapenda siasa ya kihuni

    Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere, Joseph Butiku amesema siku hizi siasa zitaka kugeuzwa kama mchezo wa kihuni huku akidai kuwa nchini kuna Watu wanaopenda siasa za kihuni. Akizungumza September 10, 2024 amesema kuwa jamii haitakiwi kuunga mkono wanaohitaji...
  2. JanguKamaJangu

    Joseph Butiku: Vyombo vya Ulinzi na Usalama visijifanye havijui mambo yanayoendelea nchini

    https://www.youtube.com/watch?v=LTs471j6rZI TAARIFA YA TAASISI YA MWALIMU NYERERE KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU TABIA MBAYA ZINAZOHATARISHA USALAMA WA MAISHA YA WATANZANIA NA MALI ZAO Ndugu wanahabari nimewaiteni hapa, kuwaombeni kwanza; muisaidie Taasisi ya Mwalimu Nyerere kuwataarifu...
  3. J

    SI KWELI Joseph Butiku azitaka Balozi nchini kufuatilia kanuni za Kidiplomasia na kuheshimu masuala ya Ndani ya nchi

    Nimeona barua ya Mwenyekiti wa taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku akizitaka. Hii ni baaada ya balozi hizo kuanza kuingilia masuala ya ndani ya nchi kufuatia sakata la kukamatwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA siku chache zilizopita. Nimependa sana ujasiri huu, ni lazima hawa...
Back
Top Bottom