Mwenyekiti wa Bodi ya Wadhamini ya Taasisi ya Mwalimu Julius Nyerere, Joseph Butiku amesema siku hizi siasa zitaka kugeuzwa kama mchezo wa kihuni huku akidai kuwa nchini kuna Watu wanaopenda siasa za kihuni.
Akizungumza September 10, 2024 amesema kuwa jamii haitakiwi kuunga mkono wanaohitaji...
https://www.youtube.com/watch?v=LTs471j6rZI
TAARIFA YA TAASISI YA MWALIMU NYERERE KWA VYOMBO VYA HABARI KUHUSU TABIA MBAYA ZINAZOHATARISHA USALAMA WA MAISHA YA WATANZANIA NA MALI ZAO
Ndugu wanahabari nimewaiteni hapa, kuwaombeni kwanza; muisaidie Taasisi ya Mwalimu Nyerere kuwataarifu...
Nimeona barua ya Mwenyekiti wa taasisi ya Mwalimu Nyerere, Joseph Butiku akizitaka. Hii ni baaada ya balozi hizo kuanza kuingilia masuala ya ndani ya nchi kufuatia sakata la kukamatwa kwa viongozi na wanachama wa CHADEMA siku chache zilizopita.
Nimependa sana ujasiri huu, ni lazima hawa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.