joseph gandye

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Queen V

    Joseph Gandye wa Watetezi TV aachiwa kwa dhamana, hatima yake kujulikana Jumatatu Agosti 26

    MWANDISHI Joseph Gandye, Mhariri wa Maudhui wa Watetezi TV ameachiwa kwa dhamana na Jeshi la Polisi mkoani Iringa, alikokuwa anashikiliwa kwa kosa la kuchapisha habari za uongo mtandaoni. Gandye ameachwa huru jioni ya leo tarehe 24 Agosti 2019 baada ya kutimiza sharti la kuwa na mdhamini...
  2. Roving Journalist

    Mwandishi wa Watetezi TV mbaroni kwa madai ya kuchapisha taarifa za uongo mtandaoni juu ya watuhumiwa kulazimishwa kulawitiana Kituo cha Polisi

    TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUKAMATWA KWA MWANDISHI WA HABARI ZA KIUCHUNGUZI JOSEPH GANDYE WA WATETEZI TV. 1.0 Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu una laani tukio la kukamatwa kwa Mwandishi wa Habari Joseph Gandye, ambaye ni Mhariri wa Uzalishaji Maudhui msimamizi msaidizi wa Watetezi TV...
  3. AbaMukulu

    Iringa: Polisi wadaiwa kuwaamuru watuhumiwa wa wizi kulawitiana

    Baadhi ya wafanyakazi wa kiwanda cha hong way interntional ltd kilichopo Mafinga wanalalamika kwa kulazimishwa kulawitiana. Wanasema amri hiyo ilitolewa na askari baada ya kupelekwa kituoni kama watuhumiwa kwenye kiwanda hicho. ==== Vijana 5 Waliokua Wafanyakazi Wa Kiwanda Cha Hongway...
Back
Top Bottom