joseph kalugendo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DOKEZO Mfanyabiashara maarufu Arusha aibiwa Tsh. Milioni 100 kwenye akaunti ya Benki ya NMB

    Mfanyabiashara maarufu katika mikoa ya Arusha, Dar na Dodoma Joseph Kalugendo mkazi wa Moshoni jijini Arusha, ameibiwa fedha zake zaidi ya milioni 100 katika benki ya NMB tawi la Clock Tower Arusha na mtumishi wa benki hiyo. Taarifa ambazo zimethibitishwa na Mfanyabiashara huyo amedai kuwa siku...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…