joshua nassari

Joshua Samwel Nassari is a Tanzanian CHADEMA politician and Member of Parliament for Arumeru East constituency since 2012.

View More On Wikipedia.org
  1. Bikirajohola

    Joshua Nassari: Kuanzia sasa sitashangaa tena kiongozi anapomuweka ndani mtu

    Mkuu wa Wilaya ya Bunda (DC), Joshua Nassari ameeleza magumu anayokutana nayo katika kutekeleza majukumu yake hali inayomlazimu wakati mwingine kutoa amri ya kukamtwa kwa watu mbalimbali ambao wanaonkena kuwa kikwazo cha yeye kutumiza wajibu wake. Akizungumza kwenye kikao kilichoitishwa na Mkuu...
  2. J

    Rais Samia: Joshua Nassari alikuwa anatuchachafya sana bungeni lakini aliposalimu amri nikaona nimlete Mara atende aliyoyasema bungeni

    Rais Samia amemsifia DC Joshua Nassari kwa utendaji mzuri wa kazi za kuwaletea wananchi maendeleo. Rais Samia amesema Nassari alikuwa anaichavhafya sana serikali pale bungeni lakini aliposalimu amri na kujiunga CCM nikaona nimlete Mara ili aje kuyatenda yale aliyokuwa anayasema bungeni...
  3. Prof Koboko

    Jengo la ofisi ya CHADEMA Bunda lavunjwa

    Nchi kila kukicha tunazungumzia kujenga ustawi wa demokrasia na kupunguza chuki na uhasama ili kulinda amani ya taifa. Kwa kiburi cha hali ya juu kabisa DC wa Bunda akijiita Mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama amevuja jengo la Ofisi ya CHADEMA Wilaya ambalo wananchi alijitolea michango...
  4. S

    Martin Maranja Masese apinga uteuzi wa Joshua Nassari

    Hivi ndivyo watu walivyochambua na kupinga uteuzi wa Joshua Nassari kuwa Mkuu wa Wilaya. === Mnazikumbuka sababu ya NASSARI kuvuliwa ubunge? Nchi zenye vetting system, kwa sababu zile za Nassari kutelekeza shughuli za Bunge na akaenda kula maisha Beverly Hills, USA, akashindwa kuheshimu kanuni...
Back
Top Bottom