Joto ni Kali sana jijini Dar es Salaam na hata kwenye baadhi ya mikoa.
AC unaweka hadi 16°c lakini inazidiwa na joto, nikafikiria labda imeisha gas, nimeleta mafundi waje wafanye service, wamesema gas IPO ya kutosha lakini bado inaelemewa.
Wenzangu mnapambanaje na hili joto, naomba tupeane uzoefu.
Takwimu za hivi majuzi zinaonyesha joto limeongezeka sana kwa viwango vya kutisha, katika sehemu mbalimbali duniani.
Here are some of the hottest recorded temperatures in 2024:
Ouargla, Algeria – 51.3°C
Basra, Iraq – 52.6°C
Ahvaz, Iran – 53.0°C
Kuwait City, Kuwait – 52.1°C
Jacobabad, Pakistan –...
Habarini wakuu
Natumai kwema.
Dah! Joto limezidi ni hatari.
Inafikia mpaka unahisi ya harufu ya nyama choma kumbe ni wewe unachomwa jua!
Unakabiliana vipi kuhimili msimu huu wa joto.
Exception: Kwa wale mliopo sehemu zenye baridi na mvua.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.