Habarini wakuu, poleni kwa majukumu.
Huyu mtoto alianza kuchemka(joto kupanda sana) Jumamosi usiku wa Septemba 7. Jumapili tulimpeleka Zahanati akapimwa Malaria, hamna.
Dokta akasema itakuwa ni mafua tu labda ndio inayopandisha joto. Tulipatiwa amoxylin, cetrizen na paracetamol.
Ila joto...