TUKUMBUSHANE
Mwaka 2009, Bingu wa Mutharika, kama mgombea wa urais na Joyce Banda mgombea-mwenza, walishinda uchaguzi mkuu kupitia chama cha DPP. Mara baada ya kuanza majukumu yao, iliibuka minong’ono kwamba wawili hao walikuwa hawaivi chungu kimoja.
Halafu, Mutharika akafa ghafla!
Baada ya...