judgment

  1. Eli Cohen

    Ukishaona mtu anatanguliza sana maneno ya IQ, mara "ooh kuna watu wana IQ ndogo humu" ujue huyo kinachomsumbua ni kitu tunaita Condescending judgment

    How much is enough ili kuweza kuridhisha matakwa na mategemeo ya mwanadamu, utashi tulionao pekee hautoshi ku-prove kuwa sisi ni bora ingawa hatuendani??, sasa kwa sababu upo egoistic, selfish na umevurugwa utaanza kuwapanga watu katika makundi ya akili ndogo ili wewe uonekane upo vizuri...
  2. R

    Public Interest retirement case: Judge Mkwizu hongera kwa well-reasoned judgment, LAKINI!

    Kuna kitu hakiko sawa, nadhani subject to discussion (maana sasa tunaruhusiwa kujadili hukumu) Since no reason was given, the first respondent, Permanent Secretary, Public Service Management & Good Governance is 23 compelled to reconsider the applicant’s application for reinstatement in his...
  3. SYLLOGIST!

    Tuk tuk trut tuuu tuuu paaa!

    😅 Kama upo vile! Yaani mtaani unakatiza, unasikia 'fyiii fyiiii fyiiiii' miluzi kibao, ukitazama nini kinaendelea, unaona mdada, kapiga baibui, ushungi na anaondoka na mikogo balaaa.....huku Ukisikia tuk tuk tru tru tuu tuuu tuu paaa! 🛵🔫yaani mlio ya bajaji na vibodaboda vilivyokosa ka...
  4. C

    Naomba msaada mwenye hii case ya Tanganyika Garage v. Marcel G. Mafuruki (1975) LRT 23 anisaidie facts na judgment yake

    Wadau naomba msaada mwenye hii case ya Tanganyikaganyika Garage v. Marcel G. Mafuruki (1975) LRT 23 anisaidie facts na judgment yake.
  5. R

    Kwanini hii imeitwa Order of the Court na siyo Judgment of the Court

    Kuna tofauti gani kati ya Order of the court na Judgment of the court? Angalia attached ORDER OF COURT AND NOT JUDGMENT, WHY?
  6. Roving Journalist

    Kesi namba 457: Mahakama yasema Maxence Melo na Micke William hawana Kesi ya kujibu! Yawaachia huru

    Kesi namba 457 (Jamhuri v Maxence Melo na mwenzake Micke William) inayohusu kampuni za CUSNA Investment na Ocean Link kudaiwa kukwepa kodi Bandarini Dar na kunyanyasa wafanyakazi wa kitanzania imeendelea leo Juni 01, 2018 katika Mahakama ya Mkazi, Kisutu. Akisoma shauri hilo Hakimu Godfrey...
Back
Top Bottom