jukwaa la ajira

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. C

    Natafuta kazi hata iliyo nje ya taaluma yangu

    Habari wanajukwaa Mimi ni kijana wa miaka 26 Jina ni Innocent Nyakunga Makazi kwa sasa ni Shinyanga Mjini. Elimu nimesoma hadi kidato cha sita kisha nikaenda chuo na kuhitimu Shahada ya sayansi katika usimamizi wa kodi (BACHELOR OF SCIENCE IN TAXATION) mwaka 2022. Nimefanya internship...
  2. Fundi manyumba

    Orodha ya majukwaa muhimu ya kutembelea kila siku hapa hapa JF

    JamiiForums watu wanazidi kuongezeka hasa vijana hivyo tunazidi kuongezeka Kwa idadi kubwa sana. Sehemu yenye watu wengi kama hivi ni lazima kuna kuwa na watu wenye tabia mbali mbali na michango tofauti tofauti. Michango hiyo inaweza kuwa positive au negative kwako inategemea ni vipi utachukua...
  3. Edgar Kyando 34

    SoC04 Story of change

    Serikali ni muhimili mkuu unao jitegemea katika katika nchi ambao upo kwa ajili kuongoza ,kutawala na kusaidia watu wake . Serikali inahusika katika kufanya kazi zifuatazo , Kukusanya mapato , kujenga miundombinu ( Barabara , shule , Hospitali , kutetea watu wake na Mali zao . Yafuatayo ni...
  4. Musa Augustino Lweve

    Connection ya kusafirisha magari kwenda nchi jirani

    Kwa Majina Naitwa Musa Augustino Lweve, ni dereva wa magari Manual pia na Automátic. Lengo la kuleta mada kwenu ni kusaidiana. Nilikuwa naomba mwenye connection ya kusafirisha gari kwenda nchi jirani Kwa yeyote atayeweza kunisaidia namba yangu ni 0714290584. Asanteni
  5. M

    Ajira za Utumishi ziweke 'standard marks' kwenye usaili wa kuandika

    Kwa majina naitwa Mikel lesta kiukweli utumishi katika upande wa ajira wapo hovyo sana nafikiri wanaofanya kazi hapo wanajisahau sanaa, nitatoa mifano mitatu na nitashauri kitu na sitoishia huku nitawafata katika page zao za kijamii pia ila kiukweli wanatuumiza sana sisi watu wa chini. OK ipo...
Back
Top Bottom