Habari wanajukwaa
Mimi ni kijana wa miaka 26
Jina ni Innocent Nyakunga
Makazi kwa sasa ni Shinyanga Mjini.
Elimu nimesoma hadi kidato cha sita kisha nikaenda chuo na kuhitimu Shahada ya sayansi katika usimamizi wa kodi (BACHELOR OF SCIENCE IN TAXATION) mwaka 2022.
Nimefanya internship...
Asilimia kubwa ya biashara zinazokufa ni za wale watu ambao wanaomba mawazo mfano nna milioni Moja na laki tano nifanye biashara gani ?
Hizi biashara huwa hazichukui mda mrefu kwasababu mtu anafanya biashara ambayo Hana uzoefu nayo na sio Kila biashara Ina inauzika Kila sehem
UNAWEZA TUMIA...
JamiiForums watu wanazidi kuongezeka hasa vijana hivyo tunazidi kuongezeka Kwa idadi kubwa sana.
Sehemu yenye watu wengi kama hivi ni lazima kuna kuwa na watu wenye tabia mbali mbali na michango tofauti tofauti.
Michango hiyo inaweza kuwa positive au negative kwako inategemea ni vipi utachukua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.