TAARIFA YA KUKOSEKANA KWA HUDUMA YA UMEME
KUZIMWA KWA BUS BAR YA MSONGO WA KILOVOLTI 220 KATIKA KITUO CHA KUPOZA UMEME CHA UBUNGO
27 JULAI, 2024
Shirika la Umeme Tanzania, linawatangazia wateja wake wa Mkoa wa Dar es salaam kuwa kutakua na katizo la umeme katika maeneo yao.
Sababu: Kuwezesha...