Wanakumbi.
Vikwazo vya mara moja kwa Malema na kutangazwa kwake kama mhalifu wa kimataifa! Elon Musk.
Majibu ya Julius Sello Malema.
Nadhani umepoteza kabisa ubongo wako wa kushoto: shujaa wa kawaida aliyeharibiwa na mnufaika wa moja kwa moja wa weupe wa ubaguzi wa rangi. Najua watu weusi...
Mjasiriamali bilionea Elon Musk ameibua mvutano mpya na kiongozi wa chama cha Economic Freedom Fighters (EFF), Julius Malema, akipendekeza kwamba Malema atangazwe kuwa mhalifu wa kimataifa.
Mvutano huu umetokana na video ya Malema akidai kuwa chama cha Democratic Alliance (DA) kinawaunga mkono...
Vita vya maneno vimeibuka katika mtandao wa X kati ya tajiri mbwatukaji Elon Musk na mwanasiasa mbwatukaji toka Afrika Kusini Julius Malema kisa kauli zilizo tafsiri kuwa za kibaguzi toka kwa mwanasiasa huyu kwenda kwa jamii ya wazungu wa Afrika Kusini.
Tajiri Elon hapa kachafukwa anataka...
With 99.03% of votes counted, ANC is at 40.3%. It has lost parliamental majority.
ANC wanaona aibu kuwafuata DA (wazungu) kuwaomba kufanya coalition. Ni kama wanarudisha kwa mkoloni kuwa mambo yamewashinda. Aibu!
Wanaukakasi kumwendea MK , owner ni JZ, waliye mpeleka jela. Na juzi kumpa hukumu...
Kulikoni chama kipya cha Mzee Jacob Zuma MK Party kinaipiku EFF na kukipumulia kisogoni chama kikongwe cha DA?
Nadhani mageuzi ya fikra na sera ni muhimu zaidi ya kulalamika bila alternatives upinzani lazima kujipanga kwa sera mbadala, mipango na mikakati madhubuti ya kutekelezeka...
Kiongozi mkuu wa Chama cha EFF amemtaka Raila Odinga kuacha maandamano na kukubali kuwa alishindwa. Amesema pia aache kuvuruga amani nchini Kenya kwani Rais Ruto alipita kwa haki.
Julius Malema akihutubia kwenye maadhimisho ya miaka 10 ya EFF
Kijana Machachari wa South Africa ameichana chana nchi yake kwa kuwaita watawala wajinga baada ya kuuza Bandari ya Durban kwa tamaa ya Pesa tu na haukuna kingine ikipita miaka kadhaa tunasema tumetawaliwa..
Viongozi wabovu wanashindwa kuongoza nchi wanaharibu mali za nchi kwa kulindwa kisha...
Kiongozi huyo wa Upinzani kutoka Nchini #AfrikaKusini amesema Taifa hilo halifungamani na upande wowote hivyo, kitendo cha hivi karibuni cha Mahakama ya #ICC kutoa kibali cha kumakatwa kwa Rais #VladimirPutin wa Urusi ni matakwa ya Mataifa ya Magharibi.
Pia, Malema amesema kama angekuwa...
Chama cha wachache cha upinzani cha Afrika Kusini, Economic Freedom Fighters (EFF), kimesema Rais wa Urusi Vladimir Putin anakaribishwa kuzuru Pretoria licha ya hati ya kukamatwa iliyotolewa na Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu (ICC) dhidi yake.
Mahakama ya ICC, ambayo Afrika Kusini imetia...
Ni mbunge shupavu asiye hitaji hata sekunde ya kumpamba kiongozi.
Huyu bwana mdogo wa "uvccm" ya kwa mzee wetu Madiba hana chembe ya uchawa kwa walio madarakani.
Angekuwa ndani ya bunge letu naona hawa kina Mwigulu wasingekuwepo bungeni.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.