juma kapuya

Juma Athumani Kapuya (born 22 June 1945) is a Tanzanian CCM politician and Member of Parliament for Urambo West constituency from 1995 to 2015.

View More On Wikipedia.org
  1. Chachu Ombara

    Juma Kapuya: Sihusiki na Athuman Kapuya Foundation iliyofungiwa kwa kashfa za ushoga

    Profesa Juma Athuman Kapuya amejitokeza na kuwakemea wote wanaomchafua kwa kumhusisha na Taaisi ya Athuman Kapuya ambayo ilifungiwa na serikali kwa kuhusika na kashfa ya ushoga. Kapuya amesema kwamba yeye jina lake ni Juma Athuman Kapuya, huku baba yake akiitwa Athuman Kapuya. Mama yake...
  2. Erythrocyte

    Pre GE2025 Profesa Juma Kapuya atangaza kugombea ubunge jimbo la Kaliua 2025

    Mkubwa Dawa, hii ndio lugha ambayo vijana wa mitaa wanaitumia, hasa pale mtu mzima anapofanya jambo la kufurahisha ama kushangaza. Mkongwe Juma Kapuya ametangaza kurejea Bungeni 2025 kwa kugombea tena Ubunge jimbo la Urambo. Huyu hapa
  3. Erythrocyte

    Uchaguzi 2020 Mkubwa Dawa, Profesa Juma Kapuya achukua fomu ya kugombea ubunge jimbo la Kaliua

    Mbunge wa zamani wa Urambo Magharibi na waziri wa wizara mbili tofauti nchini, Profesa Juma Kapuya amechukua fomu ya kuwania ubunge jimbo la Kaliua, Tabora. === Prof. Juma Kapuya kama utakuwa unakumbuka alikuwa waziri wa ulinzi na mbunge wa Urambo Tabora wakati wa utawala wa Rais Mstaafu wa...
Back
Top Bottom