Juma Kaseja Juma (born 20 April 1985) is a Tanzanian (Association football|footballer) who currently plays as a Goalkeeper association football (goalkeeper) for Kinondoni Municipal Council F.C (KMC FC). He is also a member of the Tanzania national football team|Tanzania national team. Kaseja initially competed with Simba S.C, leaving the club shortly after the season's conclusion. In his early years, he played with the Makongo Dar es Salaam and Serengeti Boys junior teams. Kaseja later registered with Moro United F.C in 2000.
Club ya Kagera sugar imemtambulisha Juma Kaseja kama kocha mkuu atakuwa akisaidiana na Temmy Felix
Juma Kaseja anachukua nafasi ya Melis Medo alifukuzwa kazi na kutimkia Singida Black Stars
Juma Kaseja ana Jukumu la kuinusuru Kagera Sugar na dhahama ya kushuka daraja
Kila la heri Juma
"Niliposajiliwa Yanga, Manji aliniambia, lengo la kukusajili hapa ni ili iwe rahisi kuwafunga Simba" - Juma Kaseja.
Chanzo: Kipyenga Extra Eastafricaradio
Iwe rahisi kuwafunga Simba SC kwani Juma Kaseja ni Fowadi? Kumbe Siku hizi Makipa nao husajiliwa ili Wakafunge?
Tafuteni hii Clip ya...
JUMA KASEJA: KILA KITU DIARRA ANACHOFANYA MIMI NILISHAKIFANYA ENZI ZANGU.
Nyota wa zamani wa klabu ya Simba Juma Kaseja ameweka wazi kuwa ubora anaouonyesha nyota wa klabu ya Yanga Djigui Diarra, yeye aliwahi kuuonesha mapema.
"Diarra ni golikipa mzuri sana.Vitu ambavyo anafanya ndani ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.