juma mfaume

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mystery

    Kuuawa kwa Juma Mfaume kwa kushindwa kulipa deni la mkewe kwa kampuni ya OYA, kunatokana na urasimu na sera mbovu za BoT

    Taarifa iliyotolewa na Jeshi la Polisi, Mkoa wa Pwani, siku ya Jumanne, tarehe 8 mwezi huu, kuwa wafanyakazi 4 wa kampuni ya OYA, walimuua Juma Said Mfaume, wakidai kuwa mkewe huyo Juma Mfaume, anayeitwa Khadija Ramadhan, alikopa pesa toka Kwenye kampuni hiyo ya OYA na akawa harejeshi marejesho...
Back
Top Bottom