jumaa aweso hafai

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Z

    Aweso siyo Waziri anayefaa Wizara ya Maji. Rais lete rafiki mwingine awe Waziri wa Maji

    Wizara nyingi wamepangwa marafiki ili kujichotea pesa za serikali, lakini nahisi sasa wa-TZ pia tunahitaji Gen-Z yetu ipambane na uchafu ndani ya wizara zetu. Huyu anayejiita ni waziri wa maji hafai! Yeye ni kelele tu na kutaja jina la Samia. Kwani Samia ni maji? Miji yote nchini ina matatizo...
Back
Top Bottom