Safi sana fagio linaendelea kupita👇👇
---
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ametengua uteuzi wa viongozi mbalimbali. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Dkt. Moses Kusiluka, viongozi waliotenguliwa ni kama ifuatavyo:-
i. B.i...
Kwani ni kitu gani kimewasibu TBC1 mshindwe kurusha HD kwenye chaneli zenu za TBC1 na Safari Chaneli?. Ubora wa picha ni duni sana. Hii ni chaneli ya Taifa, kutuonyesha ‘ungaunga’ kwa picha ambazo unaona kabisa zilipigwa kwa HD hamtutendei haki. Vipindi vya chaneli nyingine kama ZBC, Channel 10...
Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa wote Bi Justina Mashiba ametoa taarifa fupi ya kazi za Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote katika semina kwa watoa huduma za Mawasiliano.
Semina hiyo imefanyika Jijini Dodoma katika kuelekea maadhimisho ya siku ya Posta duniani huku Mgeni Rasmi katika...